Headline:-

+255776862425
info@aeqsmz.go.tz | FAQs
Architects, Engineers & Quantity Surveyors Registration Board
Latest News
Bodi ya Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Majengo Zanzibar inawataka wahitimu wa fani za usanifu (architecture), uhandisi (Engineering) na ukadiriaji majengo (Quantity Surveying) kusajili kwa ajili Semina ya Mafunzo ya Vitendo (SAPAEQ) itakayofanywa na bodi hivi karibuni.

Lengo likiwa ni kuzungumzia kuhusu mafunzo ya vitendo kwa wahitimu ili wawe Wataalamu Mahiri na kuwatafutia nafasi za Internship/Training.

Semina hii Inawahusu wahitimu wote walionaliza kuanzia 2020 hadi 2025 na
Mwisho wa kujisajili ni tarehe 28/12/2025

JIUNGE SASA KWA KUBONYEZA LINK HII: https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLScfK26gnTPcMMYpZetTXKNL2ehsF6gsByZ04Vo1WOLEIl5-3Q/viewform?usp=dialog

Bila kusahau kufollow instagram page yetu, aeqsrb_zanzibar kwa habari na matangazo tofauti kutoka Bodi.